SAGCOT na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Zawajengea Wakulima Uwezo Kupitia Ziara ya Mafunzo katika Mashamba ya Mfano ya Njombe
Gairo, Morogoro Mnamo mwezi Aprili 2024, SAGCOT, kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, iliwezesha ziara ya mafunzo kwa wakulima wapatao 40 na maafisa ugani 4 kutoka halmashauri za wilaya za Gairo na Morogoro. Ziara hiyo iliwapeleka wakulima kutembelea mashamba ya mfano ya
Read More