- info@sagcot.co.tz
- +255(0) 22 260 1024

Taasisi ya SAGCOT kinapata fedha kutoka Serikali ya Tanzania, Mashirika ya Misaada kutoka Mataifa mbalimbali hususan Serikali ya Uingereza; (FCDO au UK Aid), Serikali ya Marekani (USAID), AGRA na ofisi ya Ubalozi wa Ufalme wa Norway. Mshirika mengine ambayo yamewahi kutoa fedha ni pamoja na UNDP na Benki ya Dunia.
Kuchochea uwekezaji wenye kuwajibika na jumuishi kwenye sekta Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndani ya Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.
Kuchochea uwekezaji wenye kuwajibika na jumuishi kwenye sekta Kilimo, Mifugo na Uvuvi ndani ya Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.
Uwepo wa sekta ya kilimo iliyoboreshwa na kuleta faida kibiashara nchini Tanzania na inayoimarisha usalama wa chakula, kuboresha hali ya kipato katika kaya na kuhakikisha uhifadhi endelevu wa mazingira.
Uwepo wa sekta ya kilimo iliyoboreshwa na kuleta faida kibiashara nchini Tanzania na inayoimarisha usalama wa chakula, kuboresha hali ya kipato katika kaya na kuhakikisha uhifadhi endelevu wa mazingira.
Ghorofa ya 5, Jengo la Ikon Masaki
Kitalu Na 153, Barabara ya Bains Singh, Masaki,
Dar es Salaam Tanzania
Simu: +255(0) 22 260 1024/ 260 0146
Barua Pepe: info@sagcot.co.tz
Anuani: Iringa Ghorofa ya 4, Jengo la ASAS
Kitalu Na, 38, Kanda ya II, Gangilonga
Iringa Tanzania
Simu ya Ofisi: +255 (0) 26 27 2510
Ghorofa ya 1 Jengo la Biashara,
Kitalu Na. 5 Barabara ya Lupa,
Mbeya, Tanzania
Simu ya Ofisi: +255(0) 25 250 0015